TAMKO KUHUSU MAKAO YA WATOTO WALIO KATIKA MAZINGIRA HATARISHI YANAYOENDESHWA BILA LESENI NCHINI
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum inatoa siku 30 tangu tarehe ya tamko hili hadi tarehe 18 Februari, 2022 kwa Makao ya watoto yasiyo na leseni kuwasilisha maombi ya usajili katika Halmashauri husika kuboresha huduma muhimu zinazohitajika katika makao kwa kuzingatia matakwa ya kanuni.Hadi Januari 2022, Makao ya watoto 244 pekee
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed